Mashine ya Kuprint Tshirts (screen printing)

arnolds

Senior Member
Joined
Oct 10, 2009
Posts
105
Reaction score
57
Habari ya asubuhi wadau, natumaini mpo salama na mnaendelea na majukumu ya kila siku.
kwa yeyote mwenye information wapi naweza kupata mashine na vifaa vinavyotumika katika screen printing business hapa Dar naomba anijuze. vifaa/materials kama squegees, mesh, colors nk.

natanguliza shukrani na Mungu awabariki..
 
Ni vyema uagize toka china kwani kwa hapa unaweza ukauziwa bei ghali sana bora kuagiza kisha unafuata taratibu za ushuru wa bandarini

nashukuru kwa ushauri.. any ideas jinsi wanavyo-calculate ushuru bandarini?
 
ni vyema ukishangalia online maduka ya kule wanayouza na kuagza na kulipia hivyo vitu ni vyema ukaonana na hawa HOME SHOPING CENTRE wao ni watu wa clearing watakuletea mzigo wako hadi mlango ukiwapa address kamili ya kwako
nenda kwanza kuonana nao usiwe mwepesi kuwapa hela ya ushuru wa mzigo ongea nao uone wanafanyaje kisha anza kufanya mkataba nao wa kulkuletea mzigo wako kama utaridhika nao ni watu wasio na longolongo watakusaidia
nashukuru kwa ushauri.. any ideas jinsi wanavyo-calculate ushuru bandarini?
 

Attachments

  • MxA_E6BzOf0.jpg
    123.3 KB · Views: 288
  • vg0mz-xZGkI.jpg
    89 KB · Views: 217
  • wewe.jpg
    131.2 KB · Views: 218
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…