Helo guyz naiman hapa ni jukwaa la lenye watu wengi wa kada tofauti na ujuzi tofauti ilatunashea ujuzi wa kisayansi na kiteknolojia apa.
Ninahitaji kupewa ushauri / kupewa mchanganuo pia wa kampuni nzuri ya mashine ya kunyolea kwa matumiz ya familia yangu tu .
Ningependa kujua haya1.Bei yake
2Jina la kampuni husika
3.inakopatikana .
Na hata nikipata picha na mbinu ya kuitambua itakua poa
Nataka msaada wa kujua ni aina gani ya mashine za kunyolea nywele zenye ubora na zenye kudumu kwa mda mrefu, kama unajua na bei yake na sehemu zinapopatikana ningependa nisaidiwe, lengo langu ni kufungua BARBER SHOP.
Helo guyz naiman hapa ni jukwaa la lenye watu wengi wa kada tofauti na ujuzi tofauti ilatunashea ujuzi wa kisayansi na kiteknolojia apa.
Ninahitaji kupewa ushauri / kupewa mchanganuo pia wa kampuni nzuri ya mashine ya kunyolea kwa matumiz ya familia yangu tu .
Ningependa kujua haya1.Bei yake
2Jina la kampuni husika
3.inakopatikana .
Na hata nikipata picha na mbinu ya kuitambua itakua poa