Mashine ya kisasa ya kukamua alizeti

Mashine ya kisasa ya kukamua alizeti

dan87

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2014
Posts
394
Reaction score
176
Natamani kujua gharama za mashine ya kukamulia alizeti na kuchuja.

Pia uwezo wake ni mhimu sana nikafahamu. Nina ndoto za kuingia kwenye tasnia ya usindikaji

Nitashukuru nikipata msaada wenu
 
Mkuu uko ulipo kama upo karibu na sido nenda alafu uje utupe mrejesho..... Uko wanazo izo machine za tofauti tofauti
 
Mkuu nimetoka Sido Arusha leo,bei zinaanzia 7m kwa mashine ya kukamulia Alizeti, machine ya kuchuja inaanzia 2.5m na kama utapenda waweke na heater ili mafuta yawe refined utaongeza 5m ,yaani heater peke yake ni 5m.
Kila la heri.
 
Kama unahitaji Mashine ya kukamulia Alizeti usiumize kichwa suluhisho lako limepatikana tuone najidakia online tutakusaidia kuipata
Website yetu ni Najidakia Online Store
Hujui utaipata vipi Mashine au umekuta gharama Kubwa sisi tutakusaidia uipate kuanzia za hapa Tz iwe sido au hawa wengine nje ya sido au kutoka nje ya nchi tutakusaidia


Mashine ya Alizeti kulipitia kwetu tutakusaidia kuipata Kwa 8m complete kabisa ikifanya kukamua na kuchuja filter zake ni imara inachuja ni masafi kweli kweli
Mashine ya Alizeti hii kwenye picha tupigie 0762612213 au whatsapp
 
Mashine ya Alizeti tupigie 0762612213 Mashine inatengenezwa Kwa million 8 ikiwa imekamilika complete kabisa karibuni kuona zaidi tembelea kurasa zetu Facebook
Https://Facebook/najidakia
Au website www.najidakia.com
tapatalk_jpeg_1532008564083.jpg
 
Mkuu nimetoka Sido Arusha leo,bei zinaanzia 7m kwa mashine ya kukamulia Alizeti, machine ya kuchuja inaanzia 2.5m na kama utapenda waweke na heater ili mafuta yawe refined utaongeza 5m ,yaani heater peke yake ni 5m.
Kila la heri.
Kwa mana hiyo wakiweka heater ina uwezo wa kukamua hata mashudu.
 
Anae hitaji mashine ya kukamua alizeti,
soya,
karanga zenye maganda,
tung seed,
flax seed,
mbegu za pamba,
palm kernel.
Mashine moja inayoweza kufanya kazi zote izo inaitwa YZYX70, YZYX90,
YZYX10(95), YZYX10-6/8/9.
Kutokana na mabadiliko ya teknologia, tumeona namna ambavyo kwa sasa zinatengenezwa mashine ndogo na zenye tija katika kazi zetu za kila siku. Leo ntaenda kuzungumzia mashine za kisasa kabisa za kukamua alizeti,
"Jiunge group letu la telegram tukujulishe zaidi kuhusu mashine; Telegram"

Anae hitaji mashine ya kukamua alizeti, soya,karanga zenye maganda, tung seed, flax seed, mbegu za pamba,palm kernel. Mashine moja inayoweza kufanya kazi zote, inaitwa

1. YZYX70, YZYX90,YZYX10(95), YZYX10-6/8/9, Na zinatofautiana kwa uwezo.

Tukianza na ya kwanza kabisa hapo, mashine inayoitwa, YZYX70,inaweza ikasaga magunia 10 ndani ya masaa 24 au kwa siku.

Pia inatumia unit za umeme 96 kwa siku.

Uzito wake ni kilo 195.

Tukija kwenye hii ya pili YZYX10(90),

Hii inakamua hadi gunia 30 ndani ya masaa 24.

Pia inatumia unit za umeme 132 kwa siku.

Uzito wake ni kilo 235

Kwa hii inayoitwa YZYX10(95),

Hii naenda hadi magunia 40 kwa masaa 24

Inatumia unit 264 kwa masaa 24.

Na ina uzito wa kilo 528



Kuna nyingine kubwa Zaidi inaitwa YZYX10-6/8/9

Hii aina tofauti sana na iyo tulioitaja apo juu, lakini imeboreshwa.

Na inaweza ikasaga magunia 40 na nusu ndani ya masaa 24.

Umeme inatumia unit 264 ndani ya siku.

Na ina uzito wa kilo 590.

Agiza kutoka china mashine zote izi kwa bei ya viwandani na tukuletee mpaka mlangoni.

Kumbuka mashine izi unaweza ukaagiza kwa kupitia kampuni ya AA TANCH Trading Company iliyopo Arusha Tanzania. Au Tupigie kwa namba 0756 591 943.
(Angalia mashine izi kutokea China)
 
Back
Top Bottom