Mashine ya kukamulia juice ya miwa inauzwa ni ya umeme,ina roller mbili,ipo na kibanda chake kabisa,ni Tsh 2,000,000....bei inaongeleka,mashine ipo DAR ES SALAAM,SALASALA kwa mawasiliano 0693208482
Naomba tuwasiliane kupitia hizo namba hapo juu tafadhali tutaongea vizur1m vp ije???
Tuwasiliane kupitia hiyo namba niliyoandika tafadhaliMi naitaji mashine 2
Nawenae uwege unaangalia post yalinikwa cku ulikua unapiga shingap