M magessa2016 Member Joined Jul 23, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jul 26, 2016 #1 Kwa mashati ya kiume mazuri ya mtumba grade one bei ni 15000..
mtzedi JF-Expert Member Joined Dec 13, 2011 Posts 6,140 Reaction score 6,356 Jul 26, 2016 #2 mkuu magesa hayo yakoje,mikono mifupi au mirefu, mtumba au special,unapatikana wapi, elfu 15 ni bei ya jumla au rejareja???
mkuu magesa hayo yakoje,mikono mifupi au mirefu, mtumba au special,unapatikana wapi, elfu 15 ni bei ya jumla au rejareja???
M magessa2016 Member Joined Jul 23, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jul 26, 2016 Thread starter #5 mtzedi said: mkuu magesa hayo yakoje,mikono mifupi au mirefu, mtumba au special,unapatikana wapi, elfu 15 ni bei ya jumla au rejareja??? Click to expand... Ni ya mikono mifupi pamoja na mirefu,na ni mtumba napatikana dar au kwa mawasiliano zaid nicheki kwenye hyo number hapo
mtzedi said: mkuu magesa hayo yakoje,mikono mifupi au mirefu, mtumba au special,unapatikana wapi, elfu 15 ni bei ya jumla au rejareja??? Click to expand... Ni ya mikono mifupi pamoja na mirefu,na ni mtumba napatikana dar au kwa mawasiliano zaid nicheki kwenye hyo number hapo
M magessa2016 Member Joined Jul 23, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jul 26, 2016 Thread starter #6 Basilar Omario said: Yakoje!!? Click to expand... Mikono mirefu na mifupi
M magessa2016 Member Joined Jul 23, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jul 26, 2016 Thread starter #7 wax said: Nahitaji Click to expand... Kama unahitaji nicheki kwenye hyo number hapo
Mr. MTUI JF-Expert Member Joined Feb 18, 2013 Posts 8,129 Reaction score 8,374 Jul 26, 2016 #8 Nawasiwasi na bei... Gradi I ... Kwa 15000/ tuwekee picha tuone
M magessa2016 Member Joined Jul 23, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jul 26, 2016 Thread starter #9 Hya Attachments IMG_20160718_170619.jpg 265.5 KB · Views: 284
M magessa2016 Member Joined Jul 23, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jul 26, 2016 Thread starter #10 Pia Attachments IMG_20160718_171359.jpg 180.7 KB · Views: 248
P Pohamba JF-Expert Member Joined Jun 2, 2015 Posts 27,626 Reaction score 61,254 Jul 26, 2016 #11 magessa2016 said: Pia Click to expand... Shati za Bachelors! Mwanaume anaefuga Mwanamke/ Wanawake wa kudumu havai lisilo na mfuko kifuani.
magessa2016 said: Pia Click to expand... Shati za Bachelors! Mwanaume anaefuga Mwanamke/ Wanawake wa kudumu havai lisilo na mfuko kifuani.
M magessa2016 Member Joined Jul 23, 2016 Posts 7 Reaction score 1 Jul 26, 2016 Thread starter #12 Ze Pohamba said: Shati za Bachelors! Mwanaume anaefuga Mwanamke/ Wanawake wa kudumu havai lisilo na mfuko kifuani. Click to expand... Yenye mifuko kifuani yapo pia Attachments IMG_20160713_140431.jpg 130.7 KB · Views: 251
Ze Pohamba said: Shati za Bachelors! Mwanaume anaefuga Mwanamke/ Wanawake wa kudumu havai lisilo na mfuko kifuani. Click to expand... Yenye mifuko kifuani yapo pia
Inamonga JF-Expert Member Joined Jun 25, 2016 Posts 779 Reaction score 476 Jul 26, 2016 #13 Mkuu mbona hayavutii kabisa? Huna shati za mikono mifupi draft kali zinazo ng'aa? hizo ulizo tuonesha zinafukuza wateja mkuu..
Mkuu mbona hayavutii kabisa? Huna shati za mikono mifupi draft kali zinazo ng'aa? hizo ulizo tuonesha zinafukuza wateja mkuu..
Mr. MTUI JF-Expert Member Joined Feb 18, 2013 Posts 8,129 Reaction score 8,374 Jul 26, 2016 #14 Lol.. Hizo siyo zile ukivaa hutakiwi kujipinda... Otherwise utajutia mikunjo utakayoipata...
Jerhy JF-Expert Member Joined Jul 11, 2013 Posts 3,135 Reaction score 1,000 Jul 26, 2016 #15 Inamonga said: Mkuu mbona hayavutii kabisa? Huna shati za mikono mifupi draft kali zinazo ng'aa? hizo ulizo tuonesha zinafukuza wateja mkuu.. Click to expand... Camera iliyotumika ni pixel ngapi na aina gani, camera imevuruga mng'ao
Inamonga said: Mkuu mbona hayavutii kabisa? Huna shati za mikono mifupi draft kali zinazo ng'aa? hizo ulizo tuonesha zinafukuza wateja mkuu.. Click to expand... Camera iliyotumika ni pixel ngapi na aina gani, camera imevuruga mng'ao
ngutu Senior Member Joined Jul 21, 2016 Posts 100 Reaction score 67 Jul 26, 2016 #16 Tuonyeshe mashati ya elfu 15 bas mkuu maana nahic umetupa picha ya mashati ya bei nyingne
Mlaleo JF-Expert Member Joined Oct 11, 2011 Posts 16,351 Reaction score 13,142 Jul 26, 2016 #17 Magufuli si keshapiga marufuku minguo ya aina hiyo? Kavaa mzungu akamuachia mchina na mchina kamuachia mwarabu na Mwarabu kamuachia black... bei chee elfu kumi na Tano... Dah wacha niendelee kuvaa shati za vitenge na Dukani tu... Sorry
Magufuli si keshapiga marufuku minguo ya aina hiyo? Kavaa mzungu akamuachia mchina na mchina kamuachia mwarabu na Mwarabu kamuachia black... bei chee elfu kumi na Tano... Dah wacha niendelee kuvaa shati za vitenge na Dukani tu... Sorry
mikatabafeki JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 12,771 Reaction score 4,656 Jul 26, 2016 #18 mkuu weka picha za mashati mazuri...kwa mashati uliyoyaweka unaharibu biashara yako
Dengue JF-Expert Member Joined Dec 4, 2012 Posts 2,050 Reaction score 1,469 Jul 26, 2016 #19 mikatabafeki said: mkuu weka picha za mashati mazuri...kwa mashati uliyoyaweka unaharibu biashara yako Click to expand... Kaweka mashati makubwa kama ya kufunika vits
mikatabafeki said: mkuu weka picha za mashati mazuri...kwa mashati uliyoyaweka unaharibu biashara yako Click to expand... Kaweka mashati makubwa kama ya kufunika vits
Mr. MTUI JF-Expert Member Joined Feb 18, 2013 Posts 8,129 Reaction score 8,374 Jul 26, 2016 #20 Lol.. Jf biashara ngumu sana