Mashati bei poa

Mashati bei poa

mkuu magesa hayo yakoje,mikono mifupi au mirefu, mtumba au special,unapatikana wapi, elfu 15 ni bei ya jumla au rejareja???
 
mkuu magesa hayo yakoje,mikono mifupi au mirefu, mtumba au special,unapatikana wapi, elfu 15 ni bei ya jumla au rejareja???
Ni ya mikono mifupi pamoja na mirefu,na ni mtumba napatikana dar au kwa mawasiliano zaid nicheki kwenye hyo number hapo
 
Nawasiwasi na bei... Gradi I ... Kwa 15000/ tuwekee picha tuone
 
Hya
 

Attachments

  • IMG_20160718_170619.jpg
    IMG_20160718_170619.jpg
    265.5 KB · Views: 284
Mkuu mbona hayavutii kabisa? Huna shati za mikono mifupi draft kali zinazo ng'aa? hizo ulizo tuonesha zinafukuza wateja mkuu..
 
Lol.. Hizo siyo zile ukivaa hutakiwi kujipinda... Otherwise utajutia mikunjo utakayoipata...
 
Mkuu mbona hayavutii kabisa? Huna shati za mikono mifupi draft kali zinazo ng'aa? hizo ulizo tuonesha zinafukuza wateja mkuu..
Camera iliyotumika ni pixel ngapi na aina gani, camera imevuruga mng'ao
 
Tuonyeshe mashati ya elfu 15 bas mkuu maana nahic umetupa picha ya mashati ya bei nyingne
 
Magufuli si keshapiga marufuku minguo ya aina hiyo? Kavaa mzungu akamuachia mchina na mchina kamuachia mwarabu na Mwarabu kamuachia black... bei chee elfu kumi na Tano... Dah wacha niendelee kuvaa shati za vitenge na Dukani tu... Sorry
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom