Wadau
Haya ndiyo masharti Mapya kwa watakaoshiriki mnada wa kesho tarehe 24/11/2017
1. Lazima kila mshiriki ajisajiri
2. Kila mshiriki atatoa tshs milioni 2 kabla ya kuanza mnada. Ukishindwa unarejeshewa fedha hapohapo. Ukishinda mnada fedha hizo zinakuwa sehemu ya malipo.
3. Malipo 25% ni hapohapo vinginevyo upelekwe na escort ya police Benki
4. Lazima kila mshiriki asalimishe passport, leseni ya udereva au kadi ya kura.
Karibuni
NB: Nyumba za Lugumi