Mashamba yanauzwa

Mashamba yanauzwa

Nima Imma

JF-Expert Member
Joined
May 14, 2015
Posts
2,473
Reaction score
3,697
Yapo kibaha kwa kipofu...kilomita nne kutoka morogoro road ..umeme maji yapo zipo hekari 9..na wameshaita surveyor wanao mchoro ...ni mashamaba ya familia wameamua kuyauza wagawane urithi hakuna dalali unaonana na wahusika wenyewe wanauza kuanzika heka moja na kuendelea bei 3.5 milion ..phone no +255712930420
 
Mana hakuna namna tena yale kulima kufuga na kwa makaz yako poa sana
 
Yapo kibaha kwa kipofu...kilomita nne kutoka morogoro road ..umeme maji yapo zipo hekari 9..na wameshaita surveyor wanao mchoro ...ni mashamaba ya familia wameamua kuyauza wagawane urithi hakuna dalali unaonana na wahusika wenyewe wanauza kuanzika heka moja na kuendelea bei 3.5 milion ..phone no +255712930420
Duh, 3.5mil kwa heka 1 au zote 9??
 
Aisee nimetafuta sana mashamba ya dizain hii, Ngoja nikuPM
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom