Mashamba matatu yenye ukubwa wa ekari 1. Yapo kata ya Visiga kituo cha madafu. La kwanza lipo kilometa 1 na nusu kutoka morogoro road, bei 3.5mil. La pili lipo kilometa 4 kutoka Morogoro road, bei 1.5mil. La tatu lipo kilometa 7 kutoka morogoro road, bei 1.8mil. hili upande wa pili utokea Tegeta, Bagamoyo. Mashamba yote yanafaa kwa kujenga, kulima, kufuga n.k. 0714404057 0755033997