Mashamba matatu kila moja lina ekari 1. Yanapatikana Kata ya Visiga kituo cha madafu. La kwanza lipo kilometa 1 na nusu kutoka morogoro road, bei 3.5mil. La pili lipo kilometa 4 kutoka morogoro road, bei 1.5mil.(hili lipo karibu na kiwanda cha Wachina cha nondo). La tatu lipo kilometa 7 kutoka Morogoro road, bei 1.8mil.(Hili unatokea Tegeta, Bagamoyo). Mashamba yote yanafaa kwa kujenga, kilimo, kufuga n.k. 0714404057, 0755033997