Mashamba yanauzwa Kibaha - Madafu

Mashamba yanauzwa Kibaha - Madafu

Titu Bwai

Member
Joined
Jul 18, 2015
Posts
27
Reaction score
1
💥MASHAMBA YANAUZWA💥
Yapo Kibaha-Madafu
1.5km toka Morogoro Road
Umeme na Maji viko 0.5m toka mashamba yalipo...
Zipo heka 5 na zinauzwa kuanzia heka 1 kwenda juu na sio chini ya hapo..
Vina karatasi halali toka Serikali ya Kijiji ambayo inatambulika na Serikali ya Mtaa pia(HAYAJAPIMWA).!!

Mnunuaji unatakiwa uje na picha za Passport Size 2 siku ya kununua.!!
NYOTE MNAKARIBISHWA

***Bei ni 1.8m Kwa Heka***

Kwa maelezo zaidi... Piga 0714009817
 
Kuna chanzo chochote cha maji,kama kisima au mto?
 
maji ni ya serikali... pia kuna mabwawa 2 yapo jirani na hayo mashamba... karibu ni
 
Ni upande upi wa bara bara ukiwa unaenda moro?
 
Huo umeme upo 0.5 m kutoka shambani unamaanisha nusu mita which actually umeme upo shambani au ni makosa tu ya kiuandishi, 0.5m kama hesabu zangu za vipimo zipo sawa ni sentimeta 50
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom