Mashamba yanauzwa Chanika

The Red Pen

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2014
Posts
517
Reaction score
206
Habari zenu wanajamii;
Kuna mashamba yanauzwa maeneo ya Bwama hapa Chanika. Ninauza kuanzia ukubwa wa heka moja na kuendelea. Bei ya heka moja ni Tsh MILLIONI MOJA. Kwa mwenye kuhitaji tuwasiliane kupitia 0655 37 11 26. Bei inazungumzika pia. Warmly Welcome...
 
Weka Picha mkuu, vipi chanika simba washaisha au bado wapo? Hayo mashamba ni mapori au kuna makazi ya watu?
 
Chanika siku hizi hakuna Simba. Maeneo yanakaliwa na watu. Watu wapo bize huku wanawekeza ktk kilimo na ufugaji. Ni maeneo mazuri sana kwa shughuli hizi na nyinginezo...
 
Chanika siku hizi hakuna Simba. Maeneo yanakaliwa na watu. Watu wapo bize huku wanawekeza ktk kilimo na ufugaji. Ni maeneo mazuri sana kwa shughuli hizi na nyinginezo...

Nikija dsm ntakutafuta nahitaji kama eka 4 hivi.
 
Kuna umbali gani na barabara na vipi maji na umeme vipo karibu
 

Ni Chanika maeneo gani? Barabara kufika shamba lilipo? Umeme? Linafaa kwa makazi?
 
Mtakuja kuuziwa mapori ya hifadhi ya Serikali. Kuweni makini.
 
kuna umbali gani na barabara na vp maji na umeme vipo karibu

Miundo mbinu ya maji ya DAWASCO na umeme wa TANESCO bado havijafika..Hizi ni sehemu za mashamba siyo viwanja..
 
Hakuna shamba ekari moja kwa milioni moja DSM. Hilo litakuwa shamba limevamiwa na matapeli na wanauza kuwapiga wanunuzi.
 
Hakuna shamba ekari moja kwa milioni moja DSM. Hilo litakuwa shamba limevamiwa na matapeli na wanauza kuwapiga wanunuzi.

Wewe ni mshamba!! Umekariri maisha na wajinga ndio waliwao! Mimi nimenunua shamba ekari moja kwa sh 400000/- na ni halali
 
Sipo katika mchakato wowote wa kununua ardhi so hawezi nitapeli
 

Kutoka Gongo la Mboto hadi yaliko mashamba ni umbali gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…