Mkuu hayo mashamba hayalimwi kwa sasa?Usiku wa leo nimetokewa na malaika akanifahamisha niweke ujumbe humu unaohusu mashamba ya NAFCO.
Nikaonyeshwa majina
1.MURJANDA
2.SECHET
3.KIDAGAMOUD
4.GAWAL
5.BASOTU
6.........
7............
CMSC.....Centre ya matengenezo kwa pembejeo.
Kila shamba moja lina ukubwa wa HEKTA 10,000 na yapo mashamba 7.
Nikaonyeshwa mashamba haya yalikuwa yanalima ngano ya gredi ya juu sana tena tuliweza kuiuza nje ya nchi...lakini leo tuna agiza ngano nje ya nchi.
Leo vijana hawana kazi lakini haya mashamba bado yapo angalau yangeweza kuajiri ma elfu ya vijana. Mbali ya kuuza ngano tungeweza kutengeneza unga na bidhaa zake....LINE YOTE HII YA PRODUCTION ingechukua mamilioni ya wacheza pool na wapiga debe.
Kama zamani tuliweza kupalilia mashamba hayo kwa kutumia ndege...leo tutumie pampu tukiwa na lengo la kurudi kwenye ndege.
Nikasikia baridi kumbe ni maji ya mvua yanaingia ndani.....nika amka.......
waliyasimamia vizuri wacanada walipowakabidhi watanzania hasa wengi walitoka kaskazini waliyafilisi sasa unamlaumu naniUsiku wa leo nimetokewa na malaika akanifahamisha niweke ujumbe humu unaohusu mashamba ya NAFCO.
Nikaonyeshwa majina
1.MURJANDA
2.SECHET
3.KIDAGAMOUD
4.GAWAL
5.BASOTU
6.........
7............
CMSC.....Centre ya matengenezo kwa pembejeo.
Kila shamba moja lina ukubwa wa HEKTA 10,000 na yapo mashamba 7.
Nikaonyeshwa mashamba haya yalikuwa yanalima ngano ya gredi ya juu sana tena tuliweza kuiuza nje ya nchi...lakini leo tuna agiza ngano nje ya nchi.
Leo vijana hawana kazi lakini haya mashamba bado yapo angalau yangeweza kuajiri ma elfu ya vijana. Mbali ya kuuza ngano tungeweza kutengeneza unga na bidhaa zake....LINE YOTE HII YA PRODUCTION ingechukua mamilioni ya wacheza pool na wapiga debe.
Kama zamani tuliweza kupalilia mashamba hayo kwa kutumia ndege...leo tutumie pampu tukiwa na lengo la kurudi kwenye ndege.
Nikasikia baridi kumbe ni maji ya mvua yanaingia ndani.....nika amka.......
Baada ya mavuno fedha ilikuwa hairudi shamba..ilikwenda kufanya shughuli zingine za serikali.waliyasimamia vizuri wacanada walipowakabidhi watanzania hasa wengi walitoka kaskazini waliyafilisi sasa unamlaumu nani
Unganeni wairaq na wengineo kuyadai hiyo ardhi inatoa sana mavuno mkuu, pazeni sauti zenu msikike, mwiteni lukuviHayalimwi mkuu Roho yaniuma kama vile ya kwangu
Naam kama sikosei yalikuwa yana mfumo wa kumwagilia....mpunga.aise hata mbeya yapo nimazuri kweli kweli.
Dah umenikumbusha fork development college (fdc) zimekufa mikononi mwetu baada mwaka 1994 msweden kutukabidhi leo zote chali ya pale kibaha shirika la elimu iko hoi taabani viwanda vyote chali uzalishaji akuna imebaki magofu tu ngoja tuone utawala wa viwanda kama itapata tena uhai izi FDC mana wasweden kila mwaka wanakuja wanatoa bado msaada na kuchukua uongozi kuwapeleka sweden kuona wanavyopiga hatua tuache kupiga kelele mzungu ana msaada mkubwa sna kuliko tunavyodanganyanawaliyasimamia vizuri wacanada walipowakabidhi watanzania hasa wengi walitoka kaskazini waliyafilisi sasa unamlaumu nani