Iyokopokomayoko
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 1,785
- 444
Tuambie mazao gani yanaweza kumea kwa hayo maeneo mkuu
Msanga kuna maji?
Karibu yote isipokuwa mpunga. Unaweza kulima mahindi, karanga, alizeti, mananasi, matikiti, machungwa, tangawizi, vitunguu swaumu, n.k
Mkuu,Maji yapo ya kutosha hasa wakati wa mvua ila kama unataka kufanya umwagiliaji bado inawezekana kwa kuchimba kisima kwani maji hayapo mbali kwenda chini, ardhi ina rutuba ya kutosha. Hakuna sababu ya kuhofia juu ya maji huko.
Njoo na hiyo pesa Mbeya wilaya mpya ya Momba nikupatie shamba lako mwenyewe, ulime mahindi, maharage, alizeti, soya, nk hata bila mbolea. Hati ya kimila itatolewa kwa gharama za ziadaMashamba ya kukodi bei chee.
1. Msanga mbele ya chanika karibu na Dar Es Salaam, kukodi kwa ekari kwa msimu mmoja = 50,000/ tu.
2. Mkinga wilayani mkoani Tanga kukodi kwa ekari kwa msimu mmoja = 60,000/= tu.
mawasiliano: 0769142586 au info@mashambaviwanja.info
Njoo na hiyo pesa Mbeya wilaya mpya ya Momba nikupatie shamba lako mwenyewe, ulime mahindi, maharage, alizeti, soya, nk hata bila mbolea. Hati ya kimila itatolewa kwa gharama za ziada
Mkuu,
Mashamba Ya kuuza je?
Njoo na hiyo pesa Mbeya wilaya mpya ya Momba nikupatie shamba lako mwenyewe, ulime mahindi, maharage, alizeti, soya, nk hata bila mbolea. Hati ya kimila itatolewa kwa gharama za ziada