Utakuwa unafanya window shopping wewe,if ur serious ,tuwasiliane,nitakuuzia ekari kama hamsini ambazo zinafaa kwa kilimo cha nanasi,ufuta,mahindi,muhongo na kunde.
Anajiamini nini kukubali nilipomwambia kuwa nitatumia njia zangu ninazozijua ikiwa ni pamoja na kutumia watu wangu wa karibu wanaofanya kazi Wizara ya Ardhi kuthibitisha uhalali wa eneo husika?
Utakuwa unafanya window shopping wewe,if ur serious ,tuwasiliane,nitakuuzia ekari kama hamsini ambazo zinafaa kwa kilimo cha nanasi,ufuta,mahindi,muhongo na kunde.