Masai ya rero

mshana jr hawachelewi kuchoma magari moto hao shauri yako...
 
Last edited by a moderator:
Kutokana na wimbi la vijana kugundua fulsa wanazopata wamasai kwa wanawake wa kizungu....imekuwa ngumu kumtambua mmasai orijino na fake.......
 
Sasa mkuu....itakuwaje mtu awe na vitendea kazi viwili....!

Mpwa sio vwili bali ni the way wanavyotairiwa ile ngozi haitolewi inawekwa hapa chin kwaajili ya kuwatekenywa na kuwapa utamu wakina dada ndio hapo wanakosea au kupotosha kua zipo2
 
Mpwa sio vwili bali ni the way wanavyotairiwa ile ngozi haitolewi inawekwa hapa chin kwaajili ya kuwatekenywa na kuwapa utamu wakina dada ndio hapo wanakosea au kupotosha kua zipo2
Ahaa kumbe wao huwa wanabakishiwa na akiba..........nimekusoma mpwaa.......
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…