Mohamed Said JF-Expert Member Joined Nov 2, 2008 Posts 23,282 Reaction score 33,880 Oct 11, 2017 #1 Mohamed Said: Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere -Azam TV
DuppyConqueror JF-Expert Member Joined Mar 30, 2014 Posts 9,466 Reaction score 6,974 Oct 11, 2017 #2 I hope wajukuu wetu watakumbuka pia kumuweka rais wa awamu ya 5 kama ba' mdogo wa taifa...anafaa!
Chona JF-Expert Member Joined Mar 8, 2010 Posts 523 Reaction score 365 Oct 11, 2017 #3 Asante sana mzee wetu kwa kumbukizi hii
ipogolo JF-Expert Member Joined Aug 15, 2011 Posts 6,280 Reaction score 5,989 Oct 11, 2017 #4 DuppyConqueror said: I hope wajukuu wetu watakumbuka pia kumuweka rais wa awamu ya 5 kama ba' mdogo wa taifa...anafaa! Click to expand... Baba mdogo ni negative kidogo sana kwa Mwl. Labda kwa kuwa mfumo wa nchi ulichezewa. Kuurudisha mahala pake inahitaji ukichaa fulani hivi.
DuppyConqueror said: I hope wajukuu wetu watakumbuka pia kumuweka rais wa awamu ya 5 kama ba' mdogo wa taifa...anafaa! Click to expand... Baba mdogo ni negative kidogo sana kwa Mwl. Labda kwa kuwa mfumo wa nchi ulichezewa. Kuurudisha mahala pake inahitaji ukichaa fulani hivi.