Ana ndugu yake anaitwa veronica sarungi,
1. Alikuwa mrefu na alikuwa na slim figure na minywele ya kichotara
2. Alikuwa ana uwezo mkubwa sana wa kufikiria, mzuri,msikivu, hana majigambo ya kiuchumi na kimamlaka,
3. Mshahara wake wote alikuwa anawapeleka watoto wenye maisha magumu nahisi ilikuwa kituo cha kigogo ( catholic centre)
4. Alikuwa single by then. Mtu wa kusali,
5. Kubwa kuliko alinifundisha kusamehe na kusahau
Mungu akubariki popote ulipo.
Sent using
Jamii Forums mobile app