By all stds Kenyans are surfing on the right direction.
Wanashughulika na impunity kwa sasa, wakivuka hapo Kenya itakuwa undisputed power house east and central africa.
Huku tumeng'ang'ana na mipasho 'wee Zitto nakwambia kaa chini' au 'usilete dharau W/Mkuu anaweza kusema uongo?, leta ushahidi'!
Tulikuwa na fursa ya kuwaadhibu 2010 hatukuitumia tukaishia kuwajeruhi tu, wacha watuadhibu tu.