Hali ya COVID 19 Kwa kiwango kikubwa imeendelea kupungua. Na ndio maana wenye kukumbwa sana na janga hili wameendekea kutafiti na kuweka kumbukumbu mzuri zinazowasaidia kuwa na maamuzi.
Kuanzia Sasa hakuna haha ya kuwa na COVID test results kuingia Amerika. Ukioenda waweza kujipimia lakini sio lazima.
Nadhani ifike wakati Sasa nchi yetu pendwa isiendelee kuwakamua wasafiri Kwa ulazima wa kupima.
Atakayepebda Kwa maamuzi yake mwenyewe afanye lakini sio kulazimishana kwani hata Wizard husika haitoi takwimu!!
Kuanzia Sasa hakuna haha ya kuwa na COVID test results kuingia Amerika. Ukioenda waweza kujipimia lakini sio lazima.
Nadhani ifike wakati Sasa nchi yetu pendwa isiendelee kuwakamua wasafiri Kwa ulazima wa kupima.
Atakayepebda Kwa maamuzi yake mwenyewe afanye lakini sio kulazimishana kwani hata Wizard husika haitoi takwimu!!