Wewe kwa akili yako ushoga ni tishio kuliko extremism? be serious please, katika kipindi ambacho watu wameweza kuvent asira zao dhidi ya ugaidi na uitikadi kali ni hizi zama za mitandao ya kijamii, mimi naamini kuna waislam wengi sana humu wameelimika kwani zamani hawakuwa na utamaduni wa kupingana kwa hoja bali wao walikuwa wakikimbilia kusema muhammad wao katukanwa na hivyo kuanza jazba, sasa hivi moyo wa uvumilivu unaanza kuwasaida soon extremism will extinct. suala la maslahi kama kigezo cha kulaumu wazungu ni ujinga tu kwani hizo ni hoja dhaifu za waislam wanaoendekeza mauaji ya udini. watakaosababisha kusambaratika kwetu ni wadini na wewe unafahamu wana misimamo mikali sana si watu wa amani hata kidogo, kwa nini tusiwaseme?Nigeria kwa kujiona wao ndio wasomi zaidi waliruhusu states(kumbuka serikali yao ni federal) kwa hiyo memba state zinaweza kuanzisha sheria za kidini wakasahau kuwa muislam hana ustaaarabu huo!!! sasa kinawatokea puani kwani mpaka kwenye jeshi kuna wanaounga mkono Boko haramu eti kwa kuwa ni waislam wenzao. wacha tuchanane live ndio tutakomaa(wasiwasi ni kwa wazee wa jazba tu, wakristu hawana noma).