Marekani imewalipa kundi la wadukuaji wa mitandao kiasi cha USD milioni 5, ili kuliachia bomba kubwa la mafuta la Colonial. Tafsiri yake ni kufeli kwa mfumo wa kiulinzi na kiuchunguzi wa USA. Ikiwa walishindwa kulinasua bomba kwa takribani wiki nzima na hatimaye kuamua kulipa hii si habari njema kwa Marekani, lkn kwa upande wa pili ni habari njema kwa mahasimu wake