Yule mjeshi(Marco Gaguti) tulinyoosha mkono.
Ulikua ukitaka kuvusha mzigo unashangaa ashakudaka mwenyewe na rushwa hachukui.
Ukipita majini unashangaa fiber ishafika na yeye yumo.
Ukivusha kupitia vichochoro unaona bodaboda kumbe ni mwenyewe alikua halali yule jamaa.
Nchi imefunguka na Kagera imefunguka kuelekea Uganda mambo sio mabaya kabisa.
Kazi iendelee.
Ulikua ukitaka kuvusha mzigo unashangaa ashakudaka mwenyewe na rushwa hachukui.
Ukipita majini unashangaa fiber ishafika na yeye yumo.
Ukivusha kupitia vichochoro unaona bodaboda kumbe ni mwenyewe alikua halali yule jamaa.
Nchi imefunguka na Kagera imefunguka kuelekea Uganda mambo sio mabaya kabisa.
Kazi iendelee.