leiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 661
- 1,592
Kati ya kauli zilizowahi kuwafanya wanachama wa UKAWA kutembea kifua mbele, ni pale mwanasheria na mwanasiasa mkongwe, ndugu Mabere Marando alipowahakikishia kwamba atatangaza matokeo ya uchaguzi mkuu mwenyewe.
Baada ya hali yake ya afya kuwa mbaya, naibu katibu Mkuu wa Chadema, ndugu John Mnyika, aliahidi kuvaa jukumu hilo, lakini mpaka matokeo rasmi yanatolewa nimeona wote wapo kimya.
Please popote mlipo, toeni neno lolote
Baada ya hali yake ya afya kuwa mbaya, naibu katibu Mkuu wa Chadema, ndugu John Mnyika, aliahidi kuvaa jukumu hilo, lakini mpaka matokeo rasmi yanatolewa nimeona wote wapo kimya.
Please popote mlipo, toeni neno lolote