Marafiki na Visa vyao[emoji23]


Duuh na ndio walimsomesha na bado anatema mbovu maisha haya amegundua makosa anaomba msamaha au ana kibur bado
 
Manzi flani tulikutana shule tukaanza kuwa dada na mdogo , naingia chuo akawa anakuja kulala hostel alikua na funguo za room nlimpa mpk ID fake ili asisumbuke getini mwisho wa siku akachukua hela, saa yangu very expensive kutoka Turkey na iphone s5 sikuamini nkashangaa haji tena na simu kupokea kwa shida sana.
Nlipotezea na nkaja kutana naye almost baada ya mwaka alikua anajichekesha ila kwa jinsi alivyokua amechoka ata kumdai was useless.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…