Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,301
- 4,681
🗣️ “Baada ya Mchezo dhidi ya Milan, mshambuliaji Nyota wa SSC Napoli Armando Diego Maradona anaeleza kuwa, hakuwahi kutokea, hayupo na hatokuwepo Mlinzi kama Franco Baresi.
Hii jezi sina budi kuivaa hapahapa Uwanjani kwa maana ni jezi ya Mlinzi bora kuwahi kutokea.
Nina jezi nyingi lakini hii ni jezi bora na itakwenda kukaa sehemu ya peke yake.
Nimecheza Dakika 90 bila kuchezewa rafu, nimetoka Uwanjani bila mchubuko, wala mkwaruzo.
Hakika huyu ni zawadi tunayo paswa kujivunia Watu wa Soka na nina furaha saana kwa kuwa ni miongoni mwa Mtu niliecheza na Franco.
Alimaliza Maradona.
Endelea kupumzika kwa amani mwamba Armando Diego Maradona maarufu kama el pibe di Oro yaani Golden Boy.