Mapokezi ya viongozi CUF yaota mbawa

Pia piga U turn Jiulize kwa nn anaekubalika bara na Visiwani anaomba dola imsaidie kuingia Makao Makuu?

Umedhamiria Kupotosha! CUF haiombi Jeshi la Polisi Kuwaingiza Ofisini! Bali inafata taratibu Za Kisheria Kwani Haina Sababu Ya Kutumia Nguvu Kuingiwa Ofisini Kama alivyofanya Lipumba

Ndani Ya Ofisi Muna Lipumba na Wahuni Wenziwe, Sasa CUF ni lazima ifuate taratibu Za kisheria Kuwatoa Hao Genge la Wahuni! Kwani ikitumia Nguvu itakua ni Uvunjifu Wa Amani Na Dola itapata Nafasi Ya Kuzidi Kuukandamiza Upinzani Jambo Ambalo Dola Ndiyo Wanalolitaka.

Sasa Tulishuhudia Defenders Za polisi Zikimlinda Lipumbavu na Wahuni Wenziwe Wakimlinda Lipumbavu na Kumwingiza Kwenye Ofisi Ya CUF! Sasa Tunataka Haohao Polisi Waachane na Tabia Ya Kuwaunga Mkono Wahuni.
 
Kwa hiyo hii sinema ndiyo imeishia hapa? Au tusubiri part 2? Hii part 1 Professor kawagalagaza Wazenji. Mambo yatakuweje part 2? Tuvute subira.
 
Jee wanazungumziaje lile kundi lililokamatwa ambalo inadaiwa kuwa walitumwa na naibu katibu mkuu zbar[ wengine hadi sasa hawajulikani walipo]
 
Nyie Si Huwa Mnasemaga Kuwa Watanzania Tuilinde Amani Sasa Unataka CUF watoke Na Mapanga Wakapigane na Wahuni Wa Propesa Lipumba?? Hebu Tumia Akili katika Maongezi! Hili Litatatulika Bila Ya Mapigano Haina Haja Ya Kumwaga Damu.

Walipomaliza Kikao chao Zanzibar si walitangaza wenyewe kwa hiyari Yao kuwa watakwenda kumtoa Lipumba sasa wakat wanatangaza walikuwa hawajui kuwa kutatokea Vurugu ?
 
Half Time: Yunguru Ibrahim Haruna Lipumba (1)- Maalim Seif Sharif Hamad (0)
 
Kwanza hilo jahazi lililojaa wafuasi wa kaaf, kutoka visiwani lisachiwe mapanga na majambia.
 
Pia piga U turn Jiulize kwa nn anaekubalika bara na Visiwani anaomba dola imsaidie kuingia Makao Makuu?
anajua dola inahisi huenda dola inahusika na huo usumbufu anaoupata prof! kulala kwenye majimbu ya Buguruni kulinda cheo
 
Pro yuko kwenye himaya yake wangekuja wasinge amini macho yao kile ambaccho kingetokea naona wameona upepo sio mzuri
 
Nyie si Mnasemaga mwny Peoples Power hata dola Haiwezi sasa nyie hata Vibaka mnawaogopa!
Kwahiyo mkuu unataka Seif naye aende na Mapanga na majambia!? Tumia akili mkuu.
 
Heshma ya chama laziima irudi,bara na visiwani.profesa wewe ni shujaa huwezi kutuangusha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…