Mapokeo ya Makabila

Mapokeo ya Makabila

walimweupe

Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
64
Reaction score
75
Kuna makabila yameshikilia mambo ambayo hayana mashiko ukilinganisha na nyakati tulizonazo. Mfano, ktk familia kuthamini zaidi mtoto wa kiume kuliko mtoto wa kike hata pale inapoonekana binti kuwa ni mwenye uwezo zaidi. Inasikitisha sana sana pale ambapo utakuta ubaguzi huu unatendwa na wazazi wenye upeo wa kutosha kielimu.... "Hakika binadamu anaelimika bongo yake na wala si moyo"
 
Back
Top Bottom