Kishimbe wa Kishimbe
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 7,208
- 7,721
[emoji23][emoji23]Pole utetezi wako umechelewa, na unapaswa utambue hata mh. Rais ametambua uchapa kazi wa afande Andengenye lakini kwa hili hapana, Ndugu mtoa mada tafakari.
Romania wanatengenezwa magari ya zimamoto aina ya Magnus haya hapana, angalau zile scania za Masha zimedumu, pili hatuwezi ruhusu kila mtu akajichotea mkopo atakavyo, Kangi akope kununua fire extinguisher, Jaffo akope hela za kujenga stand, mwisho wa siku hazina wabebe madeni, tunakamatiwa ndege kilaziku bado mtu anaweka rehani serikali yetu, hapanaHakuna bunge siku hizi. Hili la Lugula lazima iundwe tume maalum ilete ukweli hewani.
Haya mambo jiwe anayatumia kufanya ufisadi wa kutisha.
Jiwe athibitiwe haraka kabla hajaleta maafa ya karne kwa taifa hili changa.
Tunashukuru Andengenye kwa kujitetea, lakini sioni kwani uendelee kukaa ofisini wakati hata kuandika kwa ufasaha huwezi.
Mtu anaye watetea polis sijui namwonaje ?
Sasa sisi yanatuhusu nini? Wacha watoane ngeu.MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
Sasa sisi yanatuhusu nini? Wacha watoane ngeu.MNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
Hehe umeandika unafikiri,mimi nilidhani unajua kumbe huna uhakika na unacho kijuaMNYONGE MNYONGENI LAKINI HAKI YAKE MPENI!
Mara alipoanza kazi kama kamishna jenerali wa jeshi la zimamoto, AFANDE ANDENGENYE, alianza rasmi kufanya kazi kisayansi na kutafiti kihusu uwezo wa jeshi letu la zimamoto kufika maeneo mbalimbali ya miji yetu na kufanya kazi ya uokoaji.
Utafiti huo ulionyesha madhaifu yaliyopo ya miundombinu mibovu na ujenzi holela unaochelewesha na hata kuzuia bidii za uokoaji za jeshi letu la zimamoto na, ninafikiri, vifaa vilivyopendekezwa kununuliwa kwa ajili ya jeshi letu la zimamoto ndivyo vimeghalimu utendaji uliotukuka wa AFANDE ANDENGENYE!
Huu ni uonevu, na, ninavyoona mimi, wa kuwajibishwa hapa ni waziri husika, Lugola, ambaye ni muwakilishi wa wizara bungeni na ndiye aliyepaswa kushughulika na taratibu na kanuni za bunge!
Naomba rais apitie tena uamuzi wake, japo mkuu yupo sahihi mara zote!
Hehe umeandika unafikiri,mimi nilidhani unajua kumbe huna uhakika na unacho kijua