Mapenzi yanaua

mlogolaje

JF-Expert Member
Nov 10, 2016
1,509
811
d10c6be33077a4e36d9501dd45d182af.jpg
Haya mapenzi ni kitu gani,yanawezakufikia hatua ya kuua watu,yakizidi uitwa mahaba nako wenye kuyaju wakasema 'mahaba Niue'

Kuna mapenzi ya mwanamke na mwanaume,ata mwanamke akipigwa kiasi cha kufa mkimuliza atasema nampenda Mme wangu kwanza uwa anipigagi

Mapenzi ya klabu za simba na yanga,niweke wazi mm ni mapenzi wa yanga toka kitambo kwa mlokuja dar ivi karibuni ni kabla kajima hawajajenga kambi yao pale jangwani timu yangu uitukani nikiwepo at a tufungwe magoli mengi kuna sababu ntakupa

Kuna mapenzi ya vyama uku ndo balaa MTU akifanya ujinga apigiwa makofi na kushangiliwa kwetu yanga afadhali atuogopi watani wetu tunakukosoa na bakora zinatembea,kwenye vyama mnajua kakosea mnakenua meno at a kama na ninyi mnaumia badilikeni
 
Back
Top Bottom