Mapenzi yanapoteza utamu wake siku hizi

Mapenzi yanapoteza utamu wake siku hizi

Quinton Canosa

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2012
Posts
1,224
Reaction score
1,258
Habari za jumapili wanajamii forum
Kadiri muda unavyozidi kwenda mapenzi yanazidi kuwa ya uongo,watu hawaaminiani,na hata yanazidi kupoteza utamu wake maana siku hizi watu hawaaminiani tena,sio kina dada sio wakina dada maisha yamezidi kuwa ya uongo na ile hadhi ya mapenzi inashuka hata mtu akiachana na mpenzi wake anafurahi anaenda kupata mpenzi mwingine yaani maisha ya mapenzi yanakuwa hayana mvuto tena.Sasa jamani hebu tujadili sababu hasa ni nini kwa mapenzi kupoteza ule mshawasha wake.Nawasilisha.
 
Labda kwako mpiga nyeto wewe.



swissme
 
Mbona mimi nshavuta vyungu viwili,nataka nivute mamitod cha tatu ntulize ball!
Raha,utamu sheikh!??
 
Last edited by a moderator:
Ni kwa sababu ss hv watu wanaangalia zaidi kitendo cha ngono kuliko upendo wenyewe kutoka moyoni so tamaa ya mwili imezidi upendo halisi,na kibaya zaidi hawamshirikishi Mungu katika kuwapata wenzi wao,na money power kwa girls nayo imechangia sana.
 
Duuu....hunifahamu unajib hivi,si ungenifahamu ingekuwaje,but its ok waswahili wanasemaga akili ni nywele.....thanks
 
Maisha yanabadilika ...
maadili yameporomoka...tujifunze kwenda na nyakati
 
Mapenzi si ya jamii bali ni kati ya watu wawili. Kama wewe hauna umpendaye sema kuwa unamtafuta mchumba.. Watu wengi wanasema eti hakuna mapenzi ya dhati siku hizi...Mbona basi wasitafutane wapendane ipasavyo na wafunge ndoa? Ukivuta subira na uwe mwangalifu utampata mchumba atakayekupa mapenzi uyatakayo nawe pia uwe tayari kumwonyesha mapenzi. Nayo hio tabia ya kuruka kama chawa ikome.
 
Mshaambiwa wapeni hela, wahongeni hela watatulia na nyie na mapenzi mtayaona mtafurahia.Sasa nyie wenyewe kulia lia daily, hamtunzi hamhudumii halafu unategemea atulie na wewe kweli??!!
 
Hali ya maisha pia yachangia.Pesa nliyo nayo kidogo ntakula,nifanye mambo kidogo ya maendeleo au ntahonga?Hiyohiyo nataka weka akiba kidogo,nikifikiria yote hayo sina hamu na papuchi...yaani hata kudinda noma.
 
Watu wanamegwa wakiwa wadogooooo.

Mpaka ukutane nae kashakwenda millage mbayaa...hamna jipya
 
Mshaambiwa wapeni hela, wahongeni hela watatulia na nyie na mapenzi mtayaona mtafurahia.Sasa nyie wenyewe kulia lia daily, hamtunzi hamhudumii halafu unategemea atulie na wewe kweli??!!

Asanteeeeeh.....huuuuh huuuuuuh
 
Hali ya maisha pia yachangia.Pesa nliyo nayo kidogo ntakula,nifanye mambo kidogo ya maendeleo au ntahonga?Hiyohiyo nataka weka akiba kidogo,nikifikiria yote hayo sina hamu na papuchi...yaani hata kudinda noma.

wewe utakua mchaga sio bure mana hiyo hela nikidogo ila izo bajeti unazozipanga apo tu.
 
Labda hayana mvuto kwenu.. mbona mi naenjoy na my wife, leo tu tulikuwa tumetoka out.. ukimpata aliye sahihi kwako, raha sana.
 
Kuna vitu vingi kuangalia kwenye mapenzi lakini nakupa hivi vitatu tu kwa leo:-
1) Mawasiliano= ukiwa huna mawasiliano na mpz wako ujuwe huwezi kudumu nae. wanawake au wanaume wengi huhitaji mwenza mwenye kuweza kumsaidia kimawazo pia kuongelea future yao na changamoto za maisha yao ikiwa mmoja wao msiri,sio muongeaji ujuwe kutakuwa na maslahi kwa mmoja na yakisha utasikia wameachana.

2)Uvumilivu= ikiwa mmoja wenu ana hasira sana au sio mtu mwenye kuchukuwa stahmala kwenye mapenzi basi hakuna kudumu kwenye hilo penzi kwasababu binaadamu tuna uwezo tafauti wa hisia na kiakili pia unaweza kumuona anakujali ila uvumilivu hana kabisa ila kama atatumia wakati wa kufahamishana basi pendo lenu linaweza kudumu kwa mfano mwalimu wa shule ana wanafunzi hodari,wa hafadhali na kichwa ngumu. endapo hatoweza kuwa mvumilivu kwa hafadhali na kichwa ngumu basi milele hawatafaulu ndio sawa na mpz au mkeo.

3) Pesa= Pesa sio mapenzi ila kwa machoni inavutia sana na moyoni pia,Leo unataka kujifanya unakwenda na wakati huku ukijua huna kitega uchumi chochote kwenye maisha au utakuta anasa mbele kuliko future ya maisha yako mfano Elimu huna,chanzo cha mapato huna lakini unataka uwe kama Wema au Diamonds kimaisha umesahau kama Diamonds alikuwa akiuza mitumba na kapita changamoto nyingi tu mpaka akafanikiwa kimaisha. kwahio utakuta mapenzi mengi huisha ukiwa huna hela nayo pia ukimuona mwanamke au mme anakuomba sana hela ujuwe sio wewe tu anaekuomba hio hela ila wapo na wengine ndio vitega uchumi vyake.
 
Tutahangaika kutafuta mchawi nani lakini hatutampata kamwe...ladha imepungua kutokana na ulimbukeni wa watu kuendekeza tamaa za mwili na fedha. Yan issue ya mtu kuwa na michepuko hata kumi au madanga (kwa wanawake) inaonekana kam Fashion hivi ilioingia watu wanafanya uhuni wazi wazi bila haya na wapo na wapenzi wao. Kinachofutia yan ukishafumania iwe live au simu yan ndio mwanzo wa penzi kufa maana uaminifu unatoweka moja kwa moja hata ufanyeje hautaaminika tena upande wa pili.. Ugomvi hautaisha na kama mtaendelea ile ladha automatically inapotea..yan yana baki mazoea tu.
 
Napenda couple ya Mabeste na Lisa...natamani hata na sie wengine tufuate jinsi wanavyopendana lakini mmmhh watu macho yapo juu juu utulivu sifurii...utapata wapi mapenzi ya amani kama wewe mwenyewe kwa mikono yako unaamua kuvunja amani hio..
 
Napenda couple ya Mabeste na Lisa...natamani hata na sie wengine tufuate jinsi wanavyopendana lakini mmmhh watu macho yapo juu juu utulivu sifurii...utapata wapi mapenzi ya amani kama wewe mwenyewe kwa mikono yako unaamua kuvunja amani hio..
Nao wameshaachana ..mapenzi yana changamoto Sana
 
Back
Top Bottom