chalii wa ara
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 1,086
- 1,021
Bora kuwa na thread mbili au moja zenye mantiki na mafunzo kwa jamii kuliko kuwa na thread zaidi ya mia zisizokuwa na maana
Mnatujazia server tu na utoto wenu usiokwisha kila siku
Ili kuleta maendeleo katika taifa unatakiwa uimalishe uhisiano na mshikamano bora katika jamii kwa kuanzia gazi ya mtu moja, famalia, n.k.
leo hii hili swala unaweza kulichukulia kama jokes kwa maana hujui maudhui yake katika jamii yana nafasi gani?? na ushauri nilioupata hapa una faida gani? kwangu.