Jf people how are you?
Wanaume siku zote na wanawake hakuna asiyependa mapenzi.
Kwa hiyo hutafuta wamiliki wa mioyo yao.
Ila kuhusu mitandao woi sioni kama ni sehemu sahihi kumpata mwenza wako.
So kwa wanaoamini anzeni kutafuta kwingine.
Au njia nyingine ya kufanikisha kusudio lako ila msipende mitandao.
Ni hatarishi na sio sehemu salama.
Chochote kitaweza kutokea nahakuna wakumlaumu.
Kazi njema wote.