Mapenzi kweli ni upofu aliyekuwa demu wangu sasa ameolewa na kaka yanguDada niliye kuwa nampelekea kwa bwana ake na ka usafir kangu kupigwa paipu mwishoe akaishia kuwa demu Wangu wa nguvu.
Dada aliye kuwa ananitafutia mademu baadae kunitafutia Mke ili nioe mwishoe akaishia kuwa Mke Wangu na watoto juu..
Ila ulikuwa unampenda nawe mkuu.Alijua mkuu ndio hivyo mapenzi ni upofu ukipenda umependa tu hautaki kuskia mengine
Waswahili walisema.......Dada niliye kuwa nampelekea kwa bwana ake na ka usafir kangu kupigwa paipu mwishoe akaishia kuwa demu Wangu wa nguvu.
Dada aliye kuwa ananitafutia mademu baadae kunitafutia Mke ili nioe mwishoe akaishia kuwa Mke Wangu na watoto juu..
