Mkuu pole Sana Ila jawabu la tatizo. Lako unalo wewe mwenyewe. Ni rahisi Sana mfuate yule demu iliyepiga naye picha mweleze Kila kitu alafu kula mzigo ili Sasa iwe kweli alafu mwambie demu wako umeamua kufanya kweli maana wanakusingizia. Acha uboya changamka