Mr Mayunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 313
- 40
- Thread starter
-
- #21
Duuh hapo inabidi ujichunguze kwanza! Mwambie akwambie tatizo ni nini kwani inavyo elekea haitapita mwezi ata kwambia msitishe mapenzi bila wewe kujua sababu. Jaribu kumuuliza ulipo kosea ili ujirekebishe!
una haraka sana.............mpe muda akumisi kwanza na usome na upepo
Habari za jioni,hebu naomba tushauriane hili limenikuta.Nina g'fnd wangu anakituko ambacho sijakifurahia,alinikaribisha room kwake siku 1 tu kiukweli tulishea oral sex!lakini baada ya hapo hataki niingie tena ndani ya room yake,nikifika house anayokaa ananistopisha nje,anataka tuongelee nje.Hataki ni mguse.Naombeni mnifumbue ni nini kimejificha hapa?