C city2014 Member Joined Jan 13, 2014 Posts 36 Reaction score 2 Jan 26, 2014 #1 mambo vp wana MMU naomba kujua kwa nini kabla hujamgegeda mwanamke anakua msumbufu sana?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,508 Reaction score 830,005 Jan 26, 2014 #2 heading na content ni vitu viwili tofauti!naona ndo unajifunza kupost Anyway tuachane na hilo mimi husumbuliwa baada ya kugegeda na si kabla, yani kila wakati kila mahali anataka
heading na content ni vitu viwili tofauti!naona ndo unajifunza kupost Anyway tuachane na hilo mimi husumbuliwa baada ya kugegeda na si kabla, yani kila wakati kila mahali anataka
Deo Corleone JF-Expert Member Joined Jun 29, 2011 Posts 17,023 Reaction score 13,370 Jan 26, 2014 #3 So ukisumbuliwa kugonga ndo unauwawa na mapenzi?
Mbwa dume JF-Expert Member Joined Jan 15, 2014 Posts 6,289 Reaction score 10,963 Jan 26, 2014 #4 Hivi viroba vitawamaliza vijana wetu!
ze jackal JF-Expert Member Joined Nov 13, 2013 Posts 528 Reaction score 174 Jan 26, 2014 #5 We kufa Tu!
Sista JF-Expert Member Joined Sep 29, 2013 Posts 3,208 Reaction score 1,038 Jan 26, 2014 #6 hivi huyu anajua kufa anakusikia? anaongea kama ameanza nazo jana kichwani kalala na kuamka nazo
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,001 Reaction score 72,284 Jan 26, 2014 #7 Zaa wako asikisumbuee
C chiefd Member Joined Jan 24, 2014 Posts 7 Reaction score 1 Jan 26, 2014 #8 Ukiendekeza mapenzi sana kila time utakufa kweli si unafahamu kuwa UKIMWI upo? We haya na mapenzi yako ya kuku.
Ukiendekeza mapenzi sana kila time utakufa kweli si unafahamu kuwa UKIMWI upo? We haya na mapenzi yako ya kuku.
kijani11 JF-Expert Member Joined Jan 19, 2014 Posts 8,348 Reaction score 9,082 Jan 26, 2014 #9 hivi hayo ni mapenzi au ngono inasumbua. badili kichwa cha uzi.
byb sac JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 910 Reaction score 386 Jan 26, 2014 #10 sijapata connection kati ya title na maelezo..naomba ufafanuzi..