Msitumie hasira kunishaur jaman, naona kama nazidi kuchanganyikiwa. Kuna kipindi najifungia chumbani na kulia Mwenyewe. Hivi huku ni kupenda? Au Ujinga?
Yani kuna Wanaume ni Wa.pu.mbavu sana yaani Unalia kisa Mwanamke harafu pesa una dah!wewe tafuta pesa tafuta position au status katika jamii unayoishi au unapofanya kazi,Uone kama atakusumbua kwa Ujumla huyo AKUPENDI,UPENDO gharama kama anakupenda ungepewa Zamani pore sana,Me natongoza leo naomba papuchi kesho yake napima upepo kama hakuna tumaini nasepa mapema,Tz kuna wanawake wengi sana
Baba kayayiiiii tulia......
Mkuu asante kwa kufanikiwa kunichekesha ...
Pili, sina ushauri wa cha kumfanyia mpenzio ila PUNYETO sio dili braza..nguvu za kufanya hivyo unatoa wapi kwanza? Inaonesha pamoja na kusoma pepa za procurement you still have a lot of time on your hand..keep yourself busy! Usipende kuwa mtu wa kulalamika kaka. Always see the positive side of things...
Unalilia papuch au....vumilia usizin kijan..fany mazoez san kuepuka punyeto
Komaaaaaaaaaaaaaa!!!
mimi nina maswali mawili? ukinijibu nitakupa ushauri mzuri sana....
1. ulishawahi kugegeda demu yoyote toka kuzaliwa kwako??
Majibu yangu ni ndio for both questions. Nasikiliza ushauri Wako Mkuu.
2.Ulishawahi kupiga nae romance huyo demu wako hata siku moja??
Mkuu asante kwa kufanikiwa kunichekesha ...
Pili, sina ushauri wa cha kumfanyia mpenzio ila PUNYETO sio dili braza..nguvu za kufanya hivyo unatoa wapi kwanza? Inaonesha pamoja na kusoma pepa za procurement you still have a lot of time on your hand..keep yourself busy! Usipende kuwa mtu wa kulalamika kaka. Always see the positive side of things...
kweli bana amekufanya zombi na wewe umekuwa zombie, chepuka bana huoni njia kuu kuna ajali.
mkuu nasoma sana,but Kuna muda nakuwa mpweke, nifanye Mkuu? Nikanunue Malaya?
Tunatofautiana Mkuu, wakat mwingine tuwe na busara, jaribu ulopita ukashinda, mm nikishindwa, usiniseme vibaya, Nishauri jema la kufanya nami nitashukuru.
Roho inaniuma sana, wee acha tu.
hhahahaahah Nouma sana jamaa katisha plan B yake ni PullDyudyu ikiona mkono wa kulia inafanyaaaaaaje?
Ahahahahahahaha wallahi wadauz mna namna za kuelezea machuuuuungu!
Kha!
kweli? Nimedevelop tabia za Ajabu, Hasira za mara kwa Mara, kususa, kuzira, kuongea sana, yaani am not a person I used to be, nawaza hata nikimuoa, kwa magumu nilopitia sintonsamehee, Mbona nishantambulisha hadi kwetu, hata Leo hii akicheza nje akapata mimba, kwao mtu wa kwanza watamuhisi ni mm. But here iam, kwa muda nilopiga nyto, I call my self a Professional on that Field. Inaniuma sana.