Tatizo sigala
Member
- Jan 27, 2013
- 45
- 5
Una umri gani wewe?
piga magoti utubu na umwambie mkeo ukweli, hayo maulozi hayatakupata kamwe.
WAT?:nono::A S 39:
Heheheheee nawe umeoa? maajabu hiyo familia waiendesha vipi mkuu? coz sidhan kama hii ni ishu ya kuanzishia sred
Nina gal aliemaliza kidato cha4 nilitoka nae mara1 tu akaniomba namba ya cm, ilahal nilimjuza kuwa nina mke na familia, amekuwa akinisumbua sana kutaka mapenz na mim ila mi stak, sasa amefika mahal ananitishia kuniua/kafara coz antaka penz lang, advise me pliz pipoz?
..umesomeka zaidi ya ulivyomaanisha..Kuna mambo mengi sana yaliyochangia matokeo mabaya ya kidato cha nne..
Sasa wewe ulivyomuonyesha mtoto wa watu maufundi ulitegemea nini. Hakuna shida kwani kakuambia anataka umuoe? We kula mzigo kimya kimya. Alafu mkome mambo ya hit and run, kwa nini uhangaike na huyu mara yule. Kuwa na mkeo na kipoozeo kimoja nje cha kutuliza mawazo kwisha.
Kuna mambo mengi sana yaliyochangia matokeo mabaya ya kidato cha nne..
Nina gal aliemaliza kidato cha4 nilitoka nae mara1 tu akaniomba namba ya cm, ilahal nilimjuza kuwa nina mke na familia, amekuwa akinisumbua sana kutaka mapenz na mim ila mi stak, sasa amefika mahal ananitishia kuniua/kafara coz antaka penz lang, advise me pliz pipoz?
P.m.vu yaan unaharibu watoto halafu unaomba ushauri?nyie ndo mafataki ambao jamii haiwataki,una mke then u go to form 4???
Heheheheee nawe umeoa? maajabu hiyo familia waiendesha vipi mkuu? coz sidhan kama hii ni ishu ya kuanzishia sred