Mapato na matumizi

kinshwi

Member
Joined
Aug 22, 2016
Posts
48
Reaction score
173
Hivi karibuni nilipata fursa ya kukaa karibu na operators, mafundi ,drillers na madereva wanaofanya kazi kwenye kampuni za uchimbaji wa madini hapa nchini.

Nilishangazwa kubaini kwamba wengi wao mishahara na marupurupu yao ni kati ya 3M mpaka 10M kila mwezi . Lakini maendeleo waliyonayo hayaendani kabisa na ukubwa wa mishahara wanayopokea.

Hata standard za maisha yao ukilinganisha na watumishi wa umma au white collars wa private sector ambao mishahara yao ni kiduchu bado wanaishi vyema kuzidi hawa jamaa. Changamoto hapa itakuwa nini? Elimu ? Anasa? Mipango ?
 
Kikubwa ni kukosa Elimu sahihi ya uwekezaji

Kawaida hela ambayo unaipata nyingi Kwa haraka, kama hautakuwa makini nayo inaweza kuisha haraka pasi na kuifanyia jambo la muhimu

Unaweza kujikuta unabeba milioni 2 na ikaishia yote Kwa mtoko wa gambe ya usiku mmoja

Kuna jamaa, kama atasoma hapa atajua nimemtolea mfano yeye

Alimwingizia Tanzania sweetheart 30M Kwa Kulala naye usiku mmoja tu

Watu wanaofanya kazi kwenye machimbo, wengi wao huwa na Matumizi ya anasa sana ya Fedha zao
 
Midogoni kule pesa haina thamani kama hautowezeka ,maeneo yenye migodoni hata vitu vinakuwa bei juu ila hao jamaa wengi ni vicheche sana ,wanahonga bila ya break.

Na kazi za pale unaweza kutimuliwa muda wowote ule na ukapata stress ,wapo wajanja wanaishi kawaida ila wameweka maeneo ya mbali kidogo ....
 
So alifanikiwa kulala naye?
 
Hahahaha haya
Ule ulikuwa ni ulimbukeni na kukosa nidhamu ya fedha

Huwezi kumhonga mtu kama yule milioni 30 kupiga Kwa usiku mmoja tu.

Hakuna Mwanaume asiyependa Kei, isipokuwa tunakuwa na kuwa na kiasi.
 
Noted βœ…οΈ!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…