Khaa!! Tuliza akili wewe. Si UKAWA wala CCM ndiyo watatutafutia Katiba mpya. Wote hao ni majobless tu wanahangaikia matumbo yao tu. Wangeenda wakajadili tu kisha wananchi tukaamua. Tunahitaji katiba ya watanzania na si ya CCM wala CDM wala chama chochote.:cool2:UKAWA wanawawakilisha wananchi waliotoa maoni yao mbele ya Tume ya Marekebisho ya Katiba. Kwa sasa Fisadi Sitta haongozi kikao cha BMLK, anaongoza kikao cha walafi wa posho, wanafiki na mafisadi ambao wako tayari kusaliti maoni ya Watanzania kwa kipande cha fedha cha laki tatu.
UKAWA wanawawakilisha wananchi waliotoa maoni yao mbele ya Tume ya Marekebisho ya Katiba. Kwa sasa Fisadi Sitta haongozi kikao cha BMLK, anaongoza kikao cha walafi wa posho, wanafiki na mafisadi ambao wako tayari kusaliti maoni ya Watanzania kwa kipande cha fedha cha laki tatu.
kwa akili zako za usiku unawaza hivyo
punguza tope kichwani na uwaambie waache kujificha GESHTI HAUSHI
wacha kuwa mwongo, ni hivi karibuni tu yule mbunge wa CUF ameomba radhi, pia wacha kujitoa ufahamu hivi ni halali wabunge wa ccm kuondoa vipengele vya uwajibikaji na maadili kwenye rasimu ya katiba? Acha siasa kwani bunge hili ni la kisiasa zaiidi na halina maslahi kwa taifa letu. Mungu wabariki UKAWA waendelee kuwa wamoja ili watutetee wananchi.Siyo mapandikizi ya ccm!, viongozi wa ukawa hawana haki ya kuwazuia wajumbe, wamechoka, hata wiki bado wamerudi 6 next week tutegemee zaidi.
Dah kumbe kuna mapandikizi yamechomekwa na CCM yakijifanya yanawakilisha wakiristo ,salaaleh !