kiabasaka Senior Member Joined Nov 28, 2013 Posts 146 Reaction score 13 Aug 25, 2014 #1 Hii inatokana na mifumo ya mabunge itakuwaje yeye adai Kama watajadili mfumo wa serikali 2 yeye atakaa pembeni Mimi nadhani wanasubiri wafike Wengi ndio waamini Kama watu wanataka serikali tatu Sent from my iPhone using JamiiForums
Hii inatokana na mifumo ya mabunge itakuwaje yeye adai Kama watajadili mfumo wa serikali 2 yeye atakaa pembeni Mimi nadhani wanasubiri wafike Wengi ndio waamini Kama watu wanataka serikali tatu Sent from my iPhone using JamiiForums
Kalu20 Senior Member Joined Aug 20, 2014 Posts 191 Reaction score 100 Aug 25, 2014 #2 Serikali 2 ndio hulka ya ma ccm na haipitiii
Duble Chris JF-Expert Member Joined May 28, 2011 Posts 3,481 Reaction score 564 Aug 25, 2014 #3 asituzingue nini alikuwa hakijui hapo nimeshangaa kusikia kuna mwingine anakwenda mahakamani kuhoji uhalali wa BMK kuitupa rasmu hawa watu wameshibika hela wanataka tuwaone kuwa maana leo !
asituzingue nini alikuwa hakijui hapo nimeshangaa kusikia kuna mwingine anakwenda mahakamani kuhoji uhalali wa BMK kuitupa rasmu hawa watu wameshibika hela wanataka tuwaone kuwa maana leo !
Khakha JF-Expert Member Joined Jul 15, 2009 Posts 2,981 Reaction score 1,013 Aug 25, 2014 #4 Wachumia tumbo hao hamna lolote hao. Sent from my iPad using JamiiForums
S salomoe JF-Expert Member Joined Sep 5, 2012 Posts 757 Reaction score 380 Aug 25, 2014 #5 Jamaa wanapiga posho kidijitali kweli. Watakaa Bungeni kujadili hoja zote. Ikifika kipengele cha majumuisho watataka serikali Tatu.
Jamaa wanapiga posho kidijitali kweli. Watakaa Bungeni kujadili hoja zote. Ikifika kipengele cha majumuisho watataka serikali Tatu.
segwanga JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 2,788 Reaction score 731 Aug 25, 2014 #6 Acheni kulalamika maana tukiwaambia kesho tuamkie barabarani hakuna wa kukubali
msani JF-Expert Member Joined Jun 13, 2011 Posts 1,800 Reaction score 1,194 Aug 26, 2014 #7 segwanga said: Acheni kulalamika maana tukiwaambia kesho tuamkie barabarani hakuna wa kukubali Click to expand... Kweli kabisa,sisi ni wagumu kuchukua maamuzi tunalalamika tu
segwanga said: Acheni kulalamika maana tukiwaambia kesho tuamkie barabarani hakuna wa kukubali Click to expand... Kweli kabisa,sisi ni wagumu kuchukua maamuzi tunalalamika tu
Magambo99 Member Joined Aug 7, 2014 Posts 18 Reaction score 0 Aug 26, 2014 #8 Tatu ndo mpango acha wakatae ila wakae wakijua ndo hitaji la wengi ipo siku wataidhinisha tu hasa nguvu ya umma ikichoka kuwavumilia
Tatu ndo mpango acha wakatae ila wakae wakijua ndo hitaji la wengi ipo siku wataidhinisha tu hasa nguvu ya umma ikichoka kuwavumilia
duet JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 534 Reaction score 149 Aug 26, 2014 #9 Duble Chris said: asituzingue nini alikuwa hakijui hapo nimeshangaa kusikia kuna mwingine anakwenda mahakamani kuhoji uhalali wa BMK kuitupa rasmu hawa watu wameshibika hela wanataka tuwaone kuwa maana leo ! Click to expand... Inasaidia. Uwongo unajitenga na ukweli. Waswahili wanasena "pata hela tukujue" kwahiyo baada ya kushida wanaonesha waliyonayo moyoni.
Duble Chris said: asituzingue nini alikuwa hakijui hapo nimeshangaa kusikia kuna mwingine anakwenda mahakamani kuhoji uhalali wa BMK kuitupa rasmu hawa watu wameshibika hela wanataka tuwaone kuwa maana leo ! Click to expand... Inasaidia. Uwongo unajitenga na ukweli. Waswahili wanasena "pata hela tukujue" kwahiyo baada ya kushida wanaonesha waliyonayo moyoni.
P pembe JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 2,156 Reaction score 729 Aug 26, 2014 #10 segwanga said: Acheni kulalamika maana tukiwaambia kesho tuamkie barabarani hakuna wa kukubali Click to expand... Kwa nini utuambie siku ikifika tu kila mtu atatoka mwenyewe!
segwanga said: Acheni kulalamika maana tukiwaambia kesho tuamkie barabarani hakuna wa kukubali Click to expand... Kwa nini utuambie siku ikifika tu kila mtu atatoka mwenyewe!
A anti ccm Member Joined Aug 6, 2014 Posts 42 Reaction score 2 Aug 26, 2014 #11 msani said: Kweli kabisa,sisi ni wagumu kuchukua maamuzi tunalalamika tu Click to expand... tuanze sisi basi,tuanze humu humu kuwakusanya watu,lets fight
msani said: Kweli kabisa,sisi ni wagumu kuchukua maamuzi tunalalamika tu Click to expand... tuanze sisi basi,tuanze humu humu kuwakusanya watu,lets fight