Mwenza nini lakini?[emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85]Mfyuuuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We cha kwanza cha mkwezi hukijuii...em hukooo😂Mwenza nini lakini?[emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85]
Me hata sijasoma,..nilikuwa naangalia kama ntaona hata kapicha...
Hivi Mara ngapi tuwasisitizie kusindikiza nyuzi zetu na picha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mimi
Habari bila picha haijakamilika huu ni uongo
Upuuzi mtupu, tukio kubwa kama hilo unaandika habari isiyo na picha!
Umeniudhi sana na kitu cha kusoma hapo ni 'headline' tu kisha uende kwenye picha hayo maelezo mengine hayatuhusu.
picha, picha, picha,picha. maelezo wala yalikuwa hayana haja.
Hii elimu yetu daaah
Umeshindwa kuweka picha kabisa ?
Aiseee japo hawaonekani vizuriView attachment 1120984tupiamo kapicha
Hao ndio walio olewa mkuuHawa nao mbona kama single mothers..[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji124][emoji124]
Hao ndio walio olewa mkuu
Hayo ni macho yako[emoji23][emoji23][emoji23] na wewe utaoa anaekufaaSawa lakini washachuja sana[emoji3]
Jibu zuri.Hayo ni macho yako[emoji23][emoji23][emoji23] na wewe utaoa anaekufaa
Sikijui, hebu tulia mwenza unielekeze.We cha kwanza cha mkwezi hukijuii...em hukooo[emoji23]
Ngoja nimpe mume wetu kwanza ndio ntatulia,.hapa akili ishahama mwenza....nshafika jupita mwenzioSikijui, hebu tulia mwenza unielekeze.
Me hata sijasoma,..nilikuwa naangalia kama ntaona hata kapicha...
Ni kijana wa lumumba kumbeeee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilipoona kaandika msisiemu nikajua ni pumba tu hatasijisumbui kusoma
Ni kijana wa lumumba kumbeeee
ChaaaDamudam
Hongera ya nini tena!Wangu huku niliko na mtandao una shida balaaaPole na hongera my dear...
Aaah aiseee umeboa balaa shuain zako