Jamani kuna kesi hapa nyumbani, dada wa kazi kajazwa mimba na mapacha wa hapa jirani. Tatizo ni kuwa haieleweki ni ya nani maana wote wamekiri wanahusika. Wametuacha na mshangao maana inaonekana walikuwa wanamega kila mtu na muda wake bila binti kujua.. Kesi imeahirishwa hadi wazazi wa bint4 watakapofika!
Ni kweli maana alipoulizwa muhusika alimtaja Doto, lakini Kulwa nae alidai alikuwa anamega hivyo nae pia ni muhusika. Hii ilitushangaza sana kwani binti na doto walikuwa hawajui kuwa kulwa nae alikuwa anahusika. Hii ilisababisha ugomvi kati ya hao mapacha, doto kumlaumu kulwa kwa kumzunguka!job true true..usikute huyo mdada alikuwa anajua anakutana na kurwa kila mara kumbe doto nae alikuwepo. mapacha wanaofanana ni hatari na kuwatambua ni kazi.
Hapo kweli kuna mzozo maana kama ni identical twins hata ukicheki DNA zao zitafanana kwa sababu wanatokana na yai moja. Solution kama wote wamekubali mimba ni yao wote wamlee mtoto atakaezaliwa kwa pamoja na kama hiyo mimba watazaliwa mapacha wagawane watoto.Jamani kuna kesi hapa nyumbani, dada wa kazi kajazwa mimba na mapacha wa hapa jirani. Tatizo ni kuwa haieleweki ni ya nani maana wote wamekiri wanahusika. Wametuacha na mshangao maana inaonekana walikuwa wanamega kila mtu na muda wake bila binti kujua.. Kesi imeahirishwa hadi wazazi wa binti watakapofika!
Ha hahaaa
ukisikia identical twins ndivyo walivyo......
Wanapenda ku share.....
Wanaweza ku share mwanamke bila mwanamke kujua...
Na hata wa kike wapo hivyo....
Mimi niliwahi kuchangiwa na warembo wawili mapacha bila kujua kwa mda fulani hivi...
Its funny,yaani hawana wivu kabisa.......
Hapo kweli kuna mzozo maana kama ni identical twins hata ukicheki DNA zao zitafanana kwa sababu wanatokana na yai moja. Solution kama wote wamekubali mimba ni yao wote wamlee mtoto atakaezaliwa kwa pamoja na kama hiyo mimba watazaliwa mapacha wagawane watoto.