The Dreamer
JF-Expert Member
- Feb 2, 2009
- 1,282
- 20
Ninayoheshima kubwa kwa marehemu waliouwawa na Jeshi la CCM kwa lengo la kumlinda kiongozi dhaifu. Damu yao na iwe chachu na izae matunda yatakayoleta Uhuru kamili. Tuwaenzi kwa kuendeleza mapambano waliyoyanzisha
Nashauri bendera za CHADEMA zipepee nusu mlingoti
Napendekeza wazikwe kwa heshima zote za chama
Napendekeza halmashauri zinazoongozwa na CDM kuwakumbuka katika vikao vyote
Napendekeza picha zao zipatikane hapa JF
Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.
BILA SHAKA MAPAMBANO DHIDI YA MKOLONI MWEUSI NI MAGUMU MAANA KODI ZETU ZINANUNUA SIRAHA ZA KUTUUA. LAKINI SINA SHAKA WAKATI WA KUWANG'OA MAFISADI ULIOKUBALIKA NI SASA
Aluta continua
Nashauri bendera za CHADEMA zipepee nusu mlingoti
Napendekeza wazikwe kwa heshima zote za chama
Napendekeza halmashauri zinazoongozwa na CDM kuwakumbuka katika vikao vyote
Napendekeza picha zao zipatikane hapa JF
Mungu azilaze roho zao mahali pema peponi.
BILA SHAKA MAPAMBANO DHIDI YA MKOLONI MWEUSI NI MAGUMU MAANA KODI ZETU ZINANUNUA SIRAHA ZA KUTUUA. LAKINI SINA SHAKA WAKATI WA KUWANG'OA MAFISADI ULIOKUBALIKA NI SASA
Aluta continua