Maombi ya kazi

Maombi ya kazi

munguyupo

Member
Joined
Sep 4, 2015
Posts
22
Reaction score
1
Mimi ni kijana jinsia mwanaume umri miaka 19 nimehitimu kidato cha nne mwaka jana Nikapata credit ya 1.8 yan division 3 lakini sikupangiwa shule kutokana na siku balance comb,,,,,,, nika apply chuo mwez wa nne nikalipa ada robo ya ada sasa imefikia mwezi huu natakiwa niingize tena ada,,,, naona mambo yamekuwa magumu kutokana na mzazi wangu kuugua,,,,,, kwahiyo kilicho nileta hapa jukwaani ni kuomba kazi yoyote ile niweze kufanya ili niweze kupata ada ya kuendelea chuo nipo tayar kufanya kazi yoyote kwa muda mfupi ilinipate hiyo laki tatu naombeni msaada wenu hata mawazo yana tosha plz msaada wenu
 
Nikiwa na umri kama wako na pengine mazingira magumu zaidi ya hayo ulioyataja hapa. Sikuzile hapakua na popote pa kwenda kujiliza kwa kutegemea kuonewa huruma, ndipo niliamua kuingia mitaani kwa kuuza maji kipindi kile maeneo ya sinza pakiwa na sida ya maji kiukweli. Nilisomba maji tokea mitaa ya chuo kukuu na nikawa nimeweza kujipatia kipato na nikaweza kwenda malizia chuo.
Leo nakula bata na hasa baada ya kujiendeleza ndipo nimekua popo haswaaaa.....
Now days vijana mnapenda kuchomekea, hampendi kuchafuka, mnapenda mteremko na kusubiri kuhurumiwa.
Pole kama nimekukwaza kijana, ingawa nimekuchana ukweli mchungu
 
ushiboy imenigusa kwakwel hii ila ww ushiboy kua na ubinadam.. maisha uliyoyapitia sio the rest wayapitie..umefanikiwa na mwenzio hajafanikiwa sio kwamba yy nimkosefu kwa mungu.
 
Last edited by a moderator:
ushiboy imenigusa kwakwel hii ila ww ushiboy kua na ubinadam.. maisha uliyoyapitia sio the rest wayapitie..umefanikiwa na mwenzio hajafanikiwa sio kwamba yy nimkosefu kwa mungu.

Nikiwa katika pitapita, kuna jamaa aliwahi kuniambia kwamba.... Wa Tz tunapenda sana kuomba na kufanya akili zetu zikuwe tegemezi.
Hakika nilichukia sana jamaa kuniambia maneno yale kuntu, akini kadiri miaka inavyo sogea najikuta naanza ku kubaliana na aneno ya nilio ambiwa miaka 18 iliopita.
 
Last edited by a moderator:
pole!! Mungu aliekusaidia ukafika hapo atakusaidia utafika mbele tena zaidi!! Jitie Moyo na kumwamnini Mungu!! Maadam hujaomba hela unaomba kazi utapata endelea kutafuta kwa bidii na sikiliza ushauri wa kila mtu kwa nafasi yake!! Hayo ndio maisha dogo!!
 
Asante ndugu yangu mzinga umenitia moyo sana ndugu yangu Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom