Maombi ya chuo

Maombi ya chuo

shedy7

New Member
Joined
Jun 2, 2023
Posts
3
Reaction score
1
Wakuu naomba kuuliza ukipata chuo alfu Kama hukuenda kabisa then mwaka ujao unaweza kuaply upya ?Na je, hamna effect yoyote kwenye mkopo?
 
Wakuu naomba kuuliza ukipata chuo alfu Kama hukuenda kabisa then mwaka ujao unaweza kuaply upya ?Na je, hamna effect yoyote kwenye mkopo?
Kote ina shida hasa kama hukutoa taarifa, Utapuuzwa kwa maana kwamba hutopewa kipaumbele kama Mwanzo sababu uliwapuuza basi wanakuassume kama mpuuzi tu.
Kama Competition haijakaza haina shida lakini.
 
Back
Top Bottom