Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,652
- 5,134
habari wakuu!
kwa jina naitwa adnan nipo dar es salaam,mimi ni kijana muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu.
lengo kubwa la uzi huu ni kuomba nyinyiwadau wa viwandani au maofisini kunipatia fursa ya ajira kwani nina uhakika naweza kufanya kazi kwa ufasaha.
mimi ni kijana mwenye nidhamu na mwenye kujituma hivo ondoa shaka suala la kinidhamu au uaminifu kwani nakuhakikishia mimi si mtu mwenye tabia mbaya.
Naomba kwa alie tayar anipm kwa maelezo zaidi.
AHSANTENi
kwa jina naitwa adnan nipo dar es salaam,mimi ni kijana muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu.
lengo kubwa la uzi huu ni kuomba nyinyiwadau wa viwandani au maofisini kunipatia fursa ya ajira kwani nina uhakika naweza kufanya kazi kwa ufasaha.
mimi ni kijana mwenye nidhamu na mwenye kujituma hivo ondoa shaka suala la kinidhamu au uaminifu kwani nakuhakikishia mimi si mtu mwenye tabia mbaya.
Naomba kwa alie tayar anipm kwa maelezo zaidi.
AHSANTENi