jogoo_dume
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 2,204
- 1,939
Za asubuhi.
Naombeni kujua dege letu tulilolinunua kwa pesa yetu tena CASH, dege la AIRBUS A220-300 linalotazamiwa kutua leo, tulitegemee saa ngapi?
Leo mtoto hatumwi dukani, watanzania wote tunalisubiri kwa hamu zote dege letu. Naombeni kujua muda wa TOUCH DOWN na wanaanza kurusha matangazo saa ngapi watanzani tulio mbali na Dar na tutaoshindwa kwenda kulipokea angalau tuangalie ktk tv?
Naombeni kujua dege letu tulilolinunua kwa pesa yetu tena CASH, dege la AIRBUS A220-300 linalotazamiwa kutua leo, tulitegemee saa ngapi?
Leo mtoto hatumwi dukani, watanzania wote tunalisubiri kwa hamu zote dege letu. Naombeni kujua muda wa TOUCH DOWN na wanaanza kurusha matangazo saa ngapi watanzani tulio mbali na Dar na tutaoshindwa kwenda kulipokea angalau tuangalie ktk tv?