Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Wajumbe wa CCM Kata ya Engusero wilayani Kiteto mkoani Manyara, wamelalamikia kubadilishwa kwa namba za wagombea katika fomu za kupigia kura za maoni, kwa ngazi ya Udiwani hivyo kusababisha mkanganyiko katika upigaji kura.